Mabadiliko yaliyofanywa kwa waombaji kazi wenye akaunti kwenye mfumo wa ajira kuanzia tarehe 6 Januari, 2020.
Waombaji wote wanatakiwa kuhuisha taarifa zao kwa:
Katika sehemu ya "Academic Qualification":
NEC inatangaza nafasi za kazi za muda mfupi kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu 2025. Nafasi hizi ni kwa ajili ya kusimamia na kuratibu shughuli za uchaguzi...
Jumla kwa Siku: TZS 60,000/=
Matokeo ya usaili wa kujiunga na Chuo Kikuu Huria cha Tanzania uliofanyika tarehe 07/05/2025...
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji linatangaza majina ya waliochaguliwa kuhudhuria mafunzo ya Uaskari ngazi ya Konstebo...
Nafasi za Uhasibu katika Taasisi za Serikali na Serikali za Mitaa.
TGS.E kwa mujibu wa ngazi za mishahara serikalini
Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST) kinatangaza nafasi ya kazi ya Assistant Lecturer katika fani ya Urban Planning/Urban and Regional Planning...
PUTS 2.1
Platinum Credit Limited ni kampuni ya mikopo midogo midogo iliyosajiliwa Tanzania chini ya Sheria ya Makampuni...
Msimamizi wa Uendeshaji na Utawala atakuwa na jukumu la kusimamia nyanja zote za uendeshaji wa kampuni zinazohusiana na kitengo cha vifaa vya ujenzi...
Nafasi hii inahitaji mtu mwenye uwezo wa kufikiria kimkakati, ujuzi wa uongozi na uelewa wa kina wa sekta ya ujenzi. Atawajibika kuongeza mapato, kuhakikisha ufanisi wa utendaji, na kudumisha viwango vya juu vya kuridhisha wateja.
The Barrick Africa Middle East Team is seeking to recruit a Reliability Superintendent to join and grow our team...
Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania anatangaza nafasi za ajira kwa vijana wa kitanzania wenye elimu ya Shahada, Stashahada, Astashahada, Kidato cha sita na Kidato cha nne...
JWTZ linatangaza nafasi za kuandikishwa Jeshini kwa vijana wa Kitanzania wenye elimu kuanzia elimu ya Sekondari hadi elimu ya Juu, pamoja na wenye Taaluma Adimu...